Joshua 6:26
26 aWakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki akasema, “Aliyelaaniwa mbele za Bwana ni mtu atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko: “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza wa kiumeataiweka misingi yake;
kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho
atayaweka malango yake.”
Copyright information for
SwhKC